• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

WAFUGAJI WA NG’OMBE WA MAZIWA WILAYANI NYASA WAPATA MSUKUMO MPYA.

Posted on: August 13th, 2018

Wafugaji wa ng’ombe ambao pia ni wazalishaji wadogo wa maziwa wamepatiwa elimu itakayowasaidia kuongeza uzalishaji wa maziwa kutoka litalita nne( 4- 7)kwa sasa mpaka lita ishirini na tano(25) kwa siku baada ya mafunzo ili kujiongezea kipato na uchumi wilayani Nyasa.

Elimu hiyo imetolewa na Afisa mifugo na maendeleo ya uvuvi  Wilayani hapa, Bw. Bernard Semwaiko kwa wafugaji wa kikundi cha Mwongozo ambacho kinajishughulisha na ufugaji wa  ng’ombe wa maziwa kilichopo kijiji cha Ndesule Kata ya Mbambabay .

Semwaiko amefafanua kuwa kwa sasa Wilayani hapa kuna fursa nyingi ambazo ukizitumia mkazi wa Nyasa utakuza uchumi wako kwa Mfano: Akataja sekta ya ufugaji ng’ombe na uzalishaji wa maziwa.  kuwa maziwa yanahitajika sana kwa wakati huu hususani Inapotengenezwa barabara ya Mbinga- Mbambabay kwa kuwa wafanyakazi wanahitaji kunywa maziwa kila siku na upanuzi wa bandari  unapokaribia pia mahitaji ya maziwa yapo kwa kiasi kikubwa.

Aliongeza kuwa serikali ya Awamu ya Tano imejipanga kuingiza kiasi kisichopungua Bilioni 152, hivyo watumie fursa hizo kuongeza uzalishaji wa maziwa na kufuga Ng’ombe kisasa ili kuongeza kipato cha mfugaji mmoja mmoja pia akabainisha kuwa kwa sasa mbambabay  inafunguka kiuchumi kwa kuwa na mlango wa kwenda Nchi jirani ya Msumbiji na Malawi hasa bandari inapoanza kufanya kazi.

Pia alibainisha kuwa wanakikundi hao walipewa Rai ya kuimarisha kikundi chao ambacho kitatumiwa kuwa shamba darasa kwa ajili ya kuwapa Elimu ya ufugaji bora na kuwaunganisha na soko la maziwa wanayozalisha na kuwaunganisha na Tasisi za kifedha  ili kuongeza mitaji.

Wanakikundi hao walifarijika na Elimu hiyo na kuahidi kuitumia vema kwa kuzalisha maziwa mengi zaidi baada ya kuhakikishiwa soko la maziwa hayo lipo,

 Naye Mmkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Nyasa  Dkt. Oscar Mbyuzi kwa gharama zake amewekeza kwenye sekta ya mifugo kwa kuingiza ng’ombe Bora wenye mimba kutoka Mkoa wa Iringa ambao wanazalisha maziwa yakutosha lita 25 kwasiku moja kwa sasa anakamilisha  Ujenzi wa mazizi bora na eneo analofugia ataliweka wazikama kituo cha kujifunzia wafugaji ndani na nje ya Wilaya.

Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI WILAYA YA NYASA April 18, 2023
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • TANGAZO la nafasi ya kazi February 03, 2023
  • View All

Latest News

  • Mhandisi Stella Manyanya yatatua kero ya wanafunzi kutembea km 30 kufuata shule ya Sekondari

    June 07, 2023
  • Tunaimani na Serikali, wananchi wa Kata ya Mtipwili na Chiwanda

    June 07, 2023
  • Dc Nyasa atembelea miradi ya Boost awataka mafundi kukamilisha Kwa wakati na ubora

    June 05, 2023
  • Mbunge Manyanya aridhishwa na Kasi ya ukuaji wa Utalii Wilayani Nyasa

    June 05, 2023
  • View All

Video

NYASA yampongeza Rais SAMIA jengo jipya la Utawala
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.